iqna

IQNA

Mehdi Imanipour
Mazungumzo ya Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) Hujjatul Islam Mohammad Mehdi Imanipour na Patriaki Kirill wa Moscow wamefanya mazungumzo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3476612    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kurudiwa kwa kesi za kuvunjia heshima matukufu ya kidini na ukimya au uhalalishaji unaofanywa na serikali za Magharibi kwa jina la uhuru wa kujieleza unaonyesha mwelekeo wa kimfumo wa kueneza chuki.
Habari ID: 3476484    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29